Skip to main content

Kwa Wanafunzi Hizi Ndizo Laptop Bora za Kununua

Kwa Wanafunzi Hizi Ndizo Laptop Bora za Kununua

Written by Stepado Pascal


Kwa sasa ni kipindi cha kuanza kujiandaa kuingia kwenye semiter mpya na kwa wengine ni kipindi cha kujiandaa kuingia kwenye masomo ya elimu ya juu, pamoja na yote hayo kuwa na laptop ni kitu cha msingi sana kwa wanafunzi ndio maana leo Solutions Tech tunakuletea laptop bora kwaajili ya wanafunzi kwa mwaka 2020. Laptop hizi zimepangwa kwa kuzingatia ubora wa laptop ambayo mwanafunzi anahitaji na angeweza kununua.

10. Asus Zenbook UX305


Sifa za Asus Zenbook UX305

  • CPU: 6th generation Intel Core m3 – Core m5 |
  • Graphics: Intel HD Graphics 515 – 5300
  • RAM: 8GB
  • Screen: 13.3-inch FHD (1,920 x 1,080) – QHD+ (3,200 x 1,800)
  • Storage: 256GB – 512GB SSD

Laptop hii ni bora kutokana na ubora wake bei pamoja na urahisi wake wa kutumia laptop hii inauwezo wa teknolojia ya full HD screen ama hakika laptop hii ni bora sana kuwa nayo wewe mwanafunzi hata bei pia ni rafiki sana.

9.      HP Chromebook 14


Sifa za HP Chromebook 14

  • CPU: 6th generation Intel Celeron
  • Graphics: Intel HD Graphics
  • RAM: 2GB – 4GB
  • Screen: 14-inch HD (1366 x 768) – FHD (1,920 x 1,080)
  • Storage: 16GB – 32GB eMMC

Kama unatafuta laptop yenye kutumia Android ukiwa na uwezo wa kuinstall app kutoka play store basi laptop hii ni bora sana kwako wewe mwanafunzi kwani kupiti play store utapata programu nyingi za kukusadia kurahisisha masomo pamoja na kuhifadhi data zako kwa urahisi.

8.      Apple MacBook Pro (13-inch 2016)


Sifa za Apple MacBook Pro (13-inch 2016)

  • CPU: 6th generation Intel Core i5 – Core i7
  • Graphics: Intel Iris Graphics 540
  • RAM: 8GB – 16GB
  • Screen: 13.3-inch WQXGA (2,560 x 1,600)
  • Storage: 256GB – 1TB SSD

Hakuna asie ijua kompyuta hii kwani kompyuta hii ni bora sana na inakupa uwezo wa kuhifadhi mafile yako ya shule kwa kiwango kikubwa, pia laptop hii inaonekana kukaa na chaji sana hivyo ni laptop bora sana kuwa nayo wewe mwanafunzi.

7. Acer Chromebook 15


Sifa za Acer Chromebook 15

  • CPU: 5th generation Intel Celeron – Core i5
  • Graphics: Intel HD Graphics
  • RAM: 2GB – 4GB
  • Screen: 15.6-inch HD (1,366 x 768) – FHD (1,920 x 1,080)
  • Storage: 16GB – 32GB SSD

Kama unatafuta laptop yenye kukaa na chaji pamoja na kufanya kazi kwa haraka basi latop hii ni bora sana kwako, vile vile laptop hii inatumia Android hivyo inakupa uwezo wa kupata programu kibao za ku-kurahisishia maisha yako utakapo kuwa masomoni.

6. 13-inch MacBook Air


Sifa za MacBook Air 13-inch 

  • CPU: 5th generation Intel Core i5; Core i7
  • Graphics: Intel HD Graphics 6000
  • RAM: 8GB
  • Screen: 13.3-inch WXGA+ (1,440 x 900)
  • Storage: 128GB – 512GB SSD

Laptop hii ni moja kati ya laptop zenye nguvu na zenye kufanya kazi kwa haraka iwe unafanya kazi zaidi ya moja au unatumia laptop hiyo kwa muda mrefu MacBook Air 13-inch itakupa uhakika wa kudumu na chaji kila siku.

5. Lenovo IdeaPad Y700


Sifa za Lenovo IdeaPad Y700

  • CPU: 6th generation Intel Core i5 – Core i7
  • Graphics: Nvidia GeForce GTX 960M (2GB – 4GB)
  • RAM: 8GB – 16GB
  • Screen: 15.6-inch FHD IPS (1,920 x 1,080)
  • Storage: 500GB HDD – 1TB HDD + 512GB SSD

MBali na ubora wake pamoja na uwezo wake wa kudumu na chaji laptop hii pia ina muonekano mzuri sana ambao unavuti na ambao unakufanya utumia laptop yako kila saa hivyo kama unapenda laptop bora na yenye muonekano bora basi hii ni laptop yako.

4. Dell XPS 13


Sifa za Dell XPS 13

  • CPU: 7th generation Intel Core i3 – i7
  • Graphics: Intel HD Graphics 620
  • RAM: 4GB – 16GB
  • Screen: 13.3-inch FHD (1,920 x 1,080) – QHD+ (3,200 x 1,800) InfinityEdge
  • Storage: 128GB – 512GB SSD

Sina haja ya kusema sana kuhusu laptop hii mbali na kuwa ni bora kwa wanafunzi laptop hii inafaa kwa matumizi karibia ya aina zote hivyo kama unataka kilicho bora Dell XPS 13 ni laptop bora sana kwaajili yako.

3. Asus ZenBook Flip UX360


Sifa za Asus ZenBook Flip UX360

  • CPU: Intel Core m-6Y30 – Intel Core m-6Y75
  • Graphics: Intel HD Graphics 515
  • RAM: 4GB
  • Screen: 13.3-inch FHD (1,920 x 1,080)
  • Storage: 128GB – 512GB SSD

Kama unatafuta laptop nyembamba na yenye uwezo wa kudumu na chaji karibia siku nzima basi laptop hii ni bora sana kwako, laptop hii imetengenezwa kisasa uku ikikuwezesha kufanya kazi zako bila wasiwasi wa chaji.

2. Microsoft Surface Pro 4


Sifa za Microsoft Surface Pro 4

  • CPU: 6th generation Intel Core m3 – Core i7
  • Graphics: Intel HD Graphics 515 – Iris Graphics
  • RAM: 4GB – 16GB
  • Screen: 12.3-inch PixelSense (2,736 x 1,824)
  • Storage: 128GB – 1TB SSD

Kama unatafuta tablet ambayo inauwezo wa kufanya kazi za laptop basi tablet hii ni kwaajili yako, tablet hii inauwezo mkubwa sana pamoja na uwezo wa kudumu na chaji kwa muda mrefu sana huku ikikuwezesha kufnaya kazi zako zote bila wasiwasi.

1. Samsung Notebook 7 Spin


Sifa za Samsung Notebook 7 Spin

  • CPU: 2.5GHz Intel Core i7-6500U
  • Graphics: Nvidia GeForce 940MX (2GB DDR3L); Intel HD Graphics 520
  • RAM: 12GB – 16GB
  • Screen: 15.6-inch Full HD (1,920 x 1,080) LED with touch panel
  • Storage: 1 TB HDD – 1TB HDD; 128GB SSD

Pamoja na kuwa latop ya awali kwenye listi hii laptop hii inauwezo mkubwa sana huku ikikupa nafasi ya kuweza kuhifadhi data zako kwa wingi zaidi pamoja na kukupa uwezo wa kufanya kazi zako za chuo bila wasiwasi wowote.

Na hizo ndio laptop bora zinazofaa kwa mwanafunzi kwa mwaka huu 2020 unao elekea mwishoni hvi...

 

Comments

Popular posts from this blog

Jinsi ya Kusoma Meseji za WhatsApp Bila Kuonekana Online

  Jinsi ya Kusoma Meseji za WhatsApp Bila Kuonekana Online Written by Stepado Pascal Ni wazi kuwa katika ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia kuna sababu nyingi sana ambazo zinaweza kukufanya uwe na uhitaji wa kusoma meseji uliyotumiwa kupitia programu ya WhatsApp bila programu hiyo kuonyesha kama upo “online” au bila kuonyesha kama umesoma meseji hiyo. Kupitia makala hii nitaenda kuonyesha njia mpya na rahisi ambayo unaweza kutumia ili kujibu meseji zako za WhatsApp unazotumiwa bila programu ya WhatsApp kuonyesha kama upo online au bila kuonyesha kama umesoma meseji hiyo yaani tiki mbili za blue. Najua kila mtu anaweza kusema najua hiyo lakini nakushauri endelea kusoma makala hii hadi mwisho kwani unaweza kupata maujanja mapya ambayo pengine ulikuwa hujui kwa namna moja ama nyingine. Kama kawaida sipendi kupoteza muda wako mwingi kwa maneno yangu, basi bila kupoteza muda twende tukangalie njia ya kwanza. Njia ya Kwanza Najua kuwa unaweza kusema kuwa unaweza k...

Download Programu ya Microsoft Office 2019 Pro Plus

Download Programu ya Microsoft Office 2019 Pro Plus Written by STepado pascal Ikiwa tunazungumzia programu bora kwaajili ya ofisi ni wazi kuwa programu ya Microsoft Office ni programu bora sana kwako, programu hii inakuja na uwezo mkubwa sana wa kusaidia mtu ambaye anafanya kazi kwenye ofisi, au hata kama wewe ni mwanafunzi programu hii ni bora sana kwako. Kuliona hili leo nimekuletea makala ambayo itakusaidia sana kuweza kupata programu ya Microsoft Office 2019 Pro Plus, ambayo imesheheni sifa nyingi sana bure bila kulipia gharama yoyote. Kumbuka hili ni toleo la Pro Plus hivyo limesheheni sifa zote za programu ya Microsoft Office. Baadhi ya programu ambazo zipo ndani ya toleo hili ni pamoja na –     Microsoft Word     Microsoft Excel     Microsoft Powerpoint     Microsoft Outlook     OneNote     OneDrive     Microsoft Teams Kwa kuanza ni vyema kufahamu kuwa programu hii ni kwa ajili ya kompyuta za Windows na inafany...

Kuanzia A-Z List zote za Windows CMD Commands

A-Z List 0f Windows CMD Commands  By  Am IT guy STEPADO Zifuatazo ndizo   list zote za Windows CMD commands  ambazo nimezipangilia katika alphabetically CMD commands. Command Prompt  and  CMD Commands  are unknown territories for most of the Windows users, they only know it as a black screen for troubleshooting the system with some fancy commands. repair a corrupted disk, hide certain drives, to create a hacking-like environment, etc. Nini maana ya Command Prompt na CMD Commands? Command Prompt, kwa jina jingine ni  cmd.exe  or  cmd  —   ni  command line amabyo inatumika kutafsiri application  katikaWindows NT family operating systems. Na CMD Commands ni specific set of instructions given to Command Prompt to perform some kind of task or function on your Windows PC. Most of the Windows CMD Commands are used to automate tasks via script  and batch files, perform advanced administrative functi...

Jinsi ya Ku-install Windows 10, 8, 7 na XP Kwenye Simu za Android

 Jinsi ya Ku-install Windows 10, 8, 7 na XP Kwenye Simu za Android Written by STepado Pascal windows kwenye android (1) Kutokana na teknolojia kubadilika sana vile vile hata simu zetu nazo zimekua zikibadilika kila siku, simu zetu zimekuwa zimebadilika kuanzia uwezo, vitu inavyofanya mpaka matumizi ya simu hizo. kuelewa mabadiliko hayo leo Tanzania Tech tunaenda kukuonyesha njia rahisi ya kuinstall Windows 7, Windows 8, Windows 10 pamoja na Windows XP kwenye simu yako ya Android. Kwa kuanza ni vyema ukajua kuwa uwezo wa kutumia Windows kwenye simu yako unaweza kukusaidia wewe kutumia simu yako kama kompyuta, njia hii itakusaidia sana kama simu yako inauwezo wa kutumika kwenye screen kubwa ili kukupa uwezo wa kufanya vitu mbalimbali kama unavyo tumia kwenye kompyuta, yaani bila tofauti kubwa utafauti ni kwenye graphics pekee. Kwa kuanza unatakiwa kuwa na simu yako ya Android yenye RAM at-list GB 1 na kuendelea, uharaka wa kuinstall Windows kwenye simu yako unategemeana sana na Uwezo...

Njia za Kutoa Simu Yako kwenye Hali ya Kustaki (Njia Rahisi)

Njia za Kutoa Simu Yako kwenye Hali ya Kustaki (Njia Rahisi) Written by Stepado Pascal Kama wewe ni mmoja wa watu ambao wanakuwa na tatizo la simu yako kustaki mara kwa mara basi makala hii ni kwa ajili yako. Kama unavyojua, simu nyingi za Android za sasa zinakuja zikiwa zimefungwa moja kwa moja na hauwezi kufunguka simu hiyo kwa namna yoyote. Ni kweli kwamba njia rahisi ya kuweza kuondoa simu kwenye hali ya kustaki ni kutoa battery ya simu hiyo na kurudisha, lakini unafanyaje kama simu yako imefungwa moja kwa moja na huwezi kufungua simu hiyo ili kutoa battery...? Majibu ninayo. Kwanza awali ya yote labda nikwambie kuwa, hatizo hili limenikuta binafsi na katika hali ya kufanya ufumbuzi nikaona sio mbaya nikishiriki na wewe njia ambazo nilitumia kuweza kuondoa simu yangu kwenye hali ya kustaki. Kumbuka njia hizi mara nyingi zinafanya kazi kwenye simu za aina zote yaani simu za Android pamoja na simu za iPhone au iOS.Zipo njia nyingi sana lakin katika zote...

Link ya kupata windows

Mambo vp Wana blog ,leo nimekuletea link hii hapa chini ,uweze kupakuwa window yoyote uitakayo kwa matumizi yako ,hvo basi bila kupoteza wakati click hiyo link hapo itakupeleka kupakuwa windows. Ukipata changamoto yoyote niachie comments yako hapo chini au chochote Cha kushare nasi karibu Sana.Tukutane tena wakati mwingine Click hapa

Antivirus ipi Bora zaidi kwa Windows 10?

Welcome in Technology   MAADA LEO *Anti-virus Ipi ni Bora zaidi kwa Windows 10?*  *By Am IT guy STEPADO* Windows 10 haitaingilia kazi mara kwa mara kukutaarifu kupakia ‘Anti-virus’ kwenye mashine yako kama vile Windows 7 ilivyokuwa ikifanya. Hii ni kwa sababu kuanzia Windows 8, Microsoft walifanya uamuzi wa msingi wa kuweka Anti-virus moja-kwa-moja kwenye mfumo wao. Antivirus hii inaitwa Windows Defender na ni Antivirus ambayo Microsoft wenyewe wanaitoa bure pamoja na WIndows mpya. Kwa maana hiyo swali la msingi la makala hii linafaa kubadilika na kuwa – ‘Je Windows Defender ni antivurus ni bora zaidi kwa usalama wa kompyuta yako au la?’ Windows Defender WIndows Defender inatokana na Microsoft Security Essentials (MSE) na ni, kwa maneno mengine, toleo la kisasa zaidi la MSE, ambayo ilikuwa ni antivirus ya bure kabisa kwa ajili ya Windows 7. Kwa sasa, antivirus ya Windows Defender inakuja pamoja na Windows na ni ngome ya kwanza kwa kompyuta yako. *Je, Windows Defender Inatosha...